top of page
Matundasi ASM Development Company Limited (MADC) ni kampuni inayojishughulisha na
utafiti na uchimbaji wa madini katika Mkoa wa Mbeya, wilaya ya Chunya.
Requirements
Cheti cha kidato cha nne au cheti cha VETA.
Leseni halali ya udereva (Daraja E) kutoka chuo cha udereva kinayotambulika.
Uzoefu wa miaka miwili (02) katika udereva wa malori.
Cheti cha kozi ya udereva wa kujihami kutoka LATRA kitahesabiwa kama faida ya ziada.
Cheti cha kozi ya udereva wa kujihami (defensive driving course) kutoka LATRA kitahesabiwa kama sifa ya ziada
Uzoefu wa kupakia na kupakua mizigo.
Uwezo wa kuendesha malori kwenye nchi jirani na Tanzania.
Uwezo wa kutunza kumbukumbu sahihi za safari na nyaraka za usafirishaji.
Umri usiozidi miaka 30
About the Company
Matundasi ASM Development Company Limited (MADC) ni kampuni inayojishughulisha na
utafiti na uchimbaji wa madini katika Mkoa wa Mbeya, wilaya ya Chunya.
bottom of page