top of page
Matundasi ASM Development Company Limited (MADC) ni kampuni inayojishughulisha na utafiti na uchimbaji wa madini katika Mkoa wa Mbeya, wilaya ya Chunya.

FUNDI MAKENIKA WA MITAMBO MIKUBWA DARAJA LA I (Heavy Duty
Mechanic I) - Nafasi Moja (01)

Chunya, Mbeya, Tanzania

Job Type

Fundi

Workspace

Chunya, Mbeya, Tanzania

Requirements

  1. Awe amehitimu Kidato cha Nne (CSEE) au zaidi.    

  2. Awe na Cheti cha Ufundi (Trade Test Grade I) au NVA Level III (National Vocational  Award Level 3) katika fani ya Heavy Duty Mechanics kutoka VETA au chuo  kinachotambulika na serikali.  

  3. Awe na cheti cha FTC (Full Technician Certificate) au Diploma ni faida ya ziada.   

  4. Awe na uwezo wa kugundua na kurekebisha matatizo ya mitambo mikubwa kama vile  Bulldozer, Excavator, Tractor, Grader na Malori Makubwa ya Migodini (Mining Dump  Trucks). 

  5. Awe na uwezo wa kufanya matengenezo ya kawaida na ya kina (routine & major repairs).  

  6. Kusoma na kutumia michoro ya kiufundi (technical drawings), manuals na wiring  diagrams.  

  7. Cheti cha ushiriki katika kozi za usalama kazini (HSE) ni faida ya ziada.   

  8. Kutumia vifaa vya kisasa vya utambuzi wa hitilafu kama vile multimeter, diagnostic  scanners, n.k.  

  9. Awe na uzoefu usiopungua  miaka 7 au zaidi katika kazi ya matengenezo ya mitambo  mikubwa kwenye migodi au katika kampuni kubwa za ujenzi.   

  10. Uzoefu wa kufanya kazi katika mazingira ya migodini au maeneo yenye mitambo  mikubwa (atapewa kipaumbele).  

  11.  Awe na uwajibikaji, uwezo wa kufanya kazi bila uangalizi wa karibu.   

  12. Aweze kumudu kufanya kazi kwa zamu (shift), muda mrefu, au katika maeneo ya mbali. 

  13.  Awe na umri usiozodi miaka 45.

About the Company

Matundasi ASM Development Company Limited (MADC) ni kampuni inayojishughulisha na utafiti na uchimbaji wa madini katika Mkoa wa Mbeya, wilaya ya Chunya.
bottom of page