top of page
Matundasi ASM Development Company Limited (MADC) ni kampuni inayojishughulisha na utafiti na uchimbaji wa madini katika Mkoa wa Mbeya, wilaya ya Chunya.

FUNDI MAKENIKA WA MITAMBO MIKUBWA DARAJA LA II (Heavy Duty
Mechanic II) - Nafasi Moja (01)

Chunya, Mbeya, Tanzania

Job Type

Fundi

Workspace

Chunya, Mbeya, Tanzania

Requirements

  1. Awe na Cheti cha Kidato cha Nne (CSEE) au Zaidi.   

  2. Awe amehitimu mafunzo ya ufundi stadi wa mitambo mikubwa (Heavy Duty  Equipment Mechanics) katika ngazi ya NVA Level II, Trade Test Grade II, au Cheti  cha Mafunzo ya Ufundi kutoka VETA, chuo kinachotambuliwa na serikali.  

  3. Cheti cha ushiriki katika kozi za usalama kazini (HSE) ni faida ya ziada.   

  4. Kufahamu na kutekeleza kanuni za afya, usalama na mazingira kazini (HSE  Regulations).   

  5. Awe na uzoefu wa angalau miaka miwili (02) katika matengenezo ya mitambo  mikubwa kama vile Bulldozer, Excavator, Tractor, Grader na Malori Makubwa ya  Migodini (Mining Dump Trucks).  

  6. Uwezo wa kufanya utatuzi wa matatizo ya mitambo kwa kutumia vifaa vya kisasa.   

  7. Kufanya matengenezo ya kawaida na ya kina kwa mitambo mikubwa ya kazi.   

  8. Uelewa wa michoro ya kiufundi (technical drawings).   

  9. Kuweza kufanya kazi kwa uangalifu, usahihi na kwa kufuata taratibu za usalama.  

  10. Kuwa na stadi za mawasiliano na kushirikiana na wengine katika timu.   

  11. Leseni ya udereva ya magari au mitambo (aina C au E).   

  12. Awe na umri usiozodi miaka 35.

About the Company

Matundasi ASM Development Company Limited (MADC) ni kampuni inayojishughulisha na utafiti na uchimbaji wa madini katika Mkoa wa Mbeya, wilaya ya Chunya.
bottom of page